Sunday, September 2, 2012

Rais Kikwete ashiriki mazishi ya Meles Zenawi aliyekuwa kiongozi wa Ethiopia

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Yoweri Kaguta Museveni wakati wa mazishi ya kiongozi wa Ethiopia marehemu   Meles  Zenawi  yaliyofanyika leo jijini Addis Ababa


Jeneza la aliyekuwa Waziri mkuu wa Ethiopia Marehemu Meles Zenawi likiletwa katika viwanja vya Addis kwa ajili ya maombolezo ya kitaifa kabla ya mazishi yake yaliyofanyika leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Jackob Zuma wa Afrika ya kusini wakati wa mazishi ya aliyekuwa  Waziri mkuu wa Ethiopia Meles Zenawi jijini Addis Ababa leo mchana


Askari wa kike akilia kwa uchungu
  source:http://www.fullshangweblog.com/2012/09/02/rais-kikwete-ashiriki-mazishi-ya-meles-zenawi-aliyekuwa-kiongozi-wa-ethiopia/

No comments:

Post a Comment