Kikosi cha Tanzania kilichoanza leo |
Tanzania ilipata penati baada ya beki wa Liberia Pape Sarr kuunawa mpira ndani ya eneo la hatari katika dakika ya 82. Raheem Toure alipiga penati hiyo kiufundi lakini ikatoka mita chache pembeni mwa lango la Liberia.
Bao la ushindi la Liberia lilifungwa na mshambuliaji James Debbah dakika ya 85 ya mchezo baada kipa wa Tanzania John Kijani kutema shuti la mpira wa adhabu.
Timu ya Tanzania ilikuwa bora katika michuano hii hasa ikizingatiwa timu ya mwisho ya Tanzania kufika fainali ya michuano hiyo ilikuwa ni ya mwaka 2002 na kufungwa 1-0 na Nigeria.Vijana walitaka kuvunja rekodi hiyo mwaka huu lakini bahati haikuwa upande wao.
Sekulu akimkimbiza beki Fahnibuller wa Liberia |
Justice akitoa pasi kwa Muddy Chamshama ambayo ilipelekea beki wa Liberia kuunawa na kutoa penati |
Beki Pape Sarr akiunawa mpira |
Raheem Toure akikosa penati dakika ya 82 |
Wadau baada ya mechi |
Wadau baada ya mechi |
Wadau baada ya mechi |
Wadau baada ya mechi |
No comments:
Post a Comment