Friday, January 4, 2013

Misa ya Mama Kasapira kufanyika Jumamosi 01/05/12, Ukumbi wa Safari

Wanajumuia,
Misa ya Mama mzazi wa George Kasapira ( Mama Mary Sembe) itafanyika
 Jumamosi (01/05/2013) muda utakuwa ni saa kumi na nusu jioni (10:30).
Misa itafanyika katika ukumbi wa Safari mpya uliopo,

7601 Des Moss,Houston,77036.

Kama kawaida yetu wanajumuia,kina Baba/Kaka tunaombwa tulete vinywaji,
na wakina Mama/ Dada watuandalie vyakula.
Kwa niaba ya familia ya George Kasapira,
wanatoa shukurani nyingi kwa kuweza kuwa nao wakati wote 
katika kipindi hiki kigumu.
Mungu awajalieni nyote.
Wenu katika jumuia,
Juma Maswanya.

No comments:

Post a Comment