Monday, January 14, 2013

UKITAKA KUTEMBELEA NEW YORK NA KUISHI KWA GHARAMA NAFUU WEWE NA FAMILIA YAKO AU MARAFIKI


Nyumba inavyoonekana kwa nje na hawa ni moja ya wageni kutoka Tanzania waliishi hapa kwa muda wa wiki 3. 
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala second floor na chini ni living room na jiko. Kwa wageni wanaotaka kutembelea 
New York na kukaa kuanzia wiki hii inawahusu na hasa wale wa (Internship). 
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na Ny Ebra.

Ngazi za kuelekea 2nd floor ambako kuna vyumba vya kulala

Wageni wakiwa Living Room wakipata ukodak

Mgeni akipata ukodak

Mwenyeji Ny Ebra (kushoto) akiwa na wageni nje ya nyumba

Hapa ni Living Room

Chumba cha kulala

Ni moja kati ya vyumba vya kulala 2nd floor

No comments:

Post a Comment