Wednesday, April 3, 2013

Habari Gani Ndiyo Mwanzo wa kujuana : NY Ebra Birthday Party in Dar


Mdau NY Ebra na mtoto wake Faudhia Ebra, wakisaidiana kukata keki wakati wa hafla fupi ya
 kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Mdau NY Ebra, aliyetua Bongo hivi karibuni akitokea 
Jiji la New York, kwa ajili ya kufurahia siku hiyo na washkaji zake, jijini Dar. Hafla hiyo inaendelea
 hivi sasa maeneo ya Sinza Parestina na washkaji kibao, huku wakirushwa
 na Dj Fid Q kwenye One na Two.  
NY Ebra, akimlisha keki binti yake Faudhia
Washkaji wakipozi kwa 'Snap' na Mdau Ebra wakifurahia kukata keki
Mtoto Faudhia, akimlisha keki baba yake mzazi, Mr Ebra...... 
Wengine wakijiandaa kula keki, pembeni ni mtoto Faudhia akisebeneka kwa furaha ya kumuona baba yake akifurahia siku ya kuzaliwa.
 Wadau wakilishwa keki....
Mdau, Ebra akipozi kwa 'Snap' na washkaji pamoja na mmiliki wa mtandao wa Sufianimafoto na wengineo
Ilikuwa ni furaha tu 
Mdau Ebra, akiwalisha keki wageni waalikwa 
Akiendelea kuwalisha keki wageni waalikwa....

No comments:

Post a Comment