Sunday, April 28, 2013

Sherehe za Muungano zafana New York, Pata picha za Matukio

Mh.Balozi Ramadhan Mwinyi - Mgeni rasmi kwenye sherehe za Muungano
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania New York Bw.Shaban Mseba akisoma risala katika sherehe hizo za Muungano
Mwenyekiti wa jumuiya Hajji Khamis akiongea machache mbele ya watanzania
waliojitokaza katika sherehe hizo zilizofanyika New York katika kitongoji cha
New Rochelle
Dr. Alec Chemponda alikuwa nae kama anavyoonekana katika picha akiongea machache
juu ya jinsi gani anavyoujua Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mama Ashura Duale nae anaujua sana Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na alikuwa
mmoja ya washuhuda wa uchanganyaji mchanga wa pande zote mbili za Tanganyika
na Zanzibar
Hii ndiyo cake ya muungano ikiwa mezani
Ukodak wa pamoja Dr Chemponda (kushoto), Mama Ashura (katikati)akifuatiwa na mke wa balozi wakiwa na Mh. Balozi Mwinyi
Ukodak mbele ya cake
Mh. Balozi akikata Cake tayari kwa kuwalisha wana Muungano waliojitokeza katika sherehe hizo

Mh. Balozi Ramadhani Mwinyi akimlisha kipande cha Cake mkewe.


























No comments:

Post a Comment