Friday, December 27, 2013

Skylight Band mzigoni

DSC_1317

Vijana wa Skylight Band wakionyesha manjonjo yao kwa mashabiki wa Band hiyo wakati wa sherehe za X-MASS ndani ya fukwe za kiota cha Escape One walipotoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao.

DSC_1332

Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani huku akipewa back up na Joniko Flower, Winnie pamoja na Digna Mbepera.

DSC_1352

Mary Lukos akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band katika kusheherekea sikukuu ya X-MASS ndani ya kiota cha Escape One.

DSC_1361

Mashabiki wa Skylight Band mdogo mdogo wakijisogeza kwa dancing floor.

DSC_1378

Joniko Flower akiwasogeza mashabiki kwa dancing floor kuwarusha na gwaride la aina yake.

DSC_1382

Mguu wa kushoto mbele wa kulia nyuma....Ya chuma chuma nataka mukanda Ya chuma chuma.....!!! Hapo ni gwaride mwanzo mwisho...

DSC_1547

Mheshimiwa Bernard Bundala na mdau Emmanuel Francis wakionyesha umahiri wao katika kusakata sebene la Skylight Band kwenye sherehe za X-MASS.

DSC_1562

Hapo sasa twende kazi...!!

DSC_1578

Mdau Emmanuel Francis akifanya yake, njoo leo Thai Village akifundishe style hii mpya ya Skylight Band.

DSC_1402

Mashabiki wa Skylight Band wakisebeneka na burudani ya kukata na shoka.

DSC_1406

Rapa wa Skylight Band Sony Masamba akimpagawisha shabiki wake.

DSC_1410

Palinogaje wewe uliyekosa tunakupa pole tukutane leo pale Thai Village ufurahie Holiday yako na Skylight Band.

DSC_1412

Mpiga Solo wa Skylight Band Allen Kisso a.k.a Mundende akimchizisha shabiki na upigaji wake Gitaa.

DSC_1414

Mrs. Kisso akisebeneka na wifi yake Digna Mbepera.

DSC_1421

Kwa raha zao kwenye upepo mwanana wa Baharini ndani ya fukwe za kiota cha Escape One, Mikocheni jijini Dar.

DSC_1426

DSC_1431

DSC_1385

Daudi Tumba akifanya yake jukwaani, ni kiungo muhimu sana kwenye Live Band.

DSC_1464

Lubea wa Skylight Band akishow love na Super Model Neema Mbuya na mdau kwenye kiota cga Escape One.

DSC_1356

Mdau Alois Ngonyani akishow love na mashemeji zake.

DSC_1593

Mdau Fredy Tony akishow love......!!!

DSC_1308

Wadau wa Skylight Band kutoka Kijitonyama nao walijumuika na Band hiyo kusheherekea X-MASS ndani ya fukwe za kiota cha Escape One jijini Dar.

DSC_1399

Fans wa Skylight Band.

DSC_1605

Mdau William Malecela a.k.a LEMUTUZ akishow love na Mbabes mkareeeee ndani ya kiota cha Escape One.

DSC_1461

Mdau nambari moja wa Skylight Band Alois Ngonyani akishow love na Sam Mapenzi wakisherekea sikukuu ya X-MASS Escape One jijini Dar.

DSC_1514

Wadau Batani na Skylight Band ndani ya kiota cha Escape One kilichopo Mikocheni jijini Dar.

DSC_1613

Aneth Kushaba AK47 akishow love na shabiki wake.

DSC_1443

DSC_1452

Watu wa ukweli kwenye muziki wa wastaarabu.....!!

DSC_1454

Wenye mbeleko haya wenye vibwaya mulele twende kazi.....!!!

DSC_1478

Mduara ulihusika pia....!!

DSC_1505

Shazi la kumwaga usiipimie Skylight Band....!!! tukutane leo jioni Thai Village Masaki tufurahi pamoja.

DSC_1489

DSC_1586

DSC_1625

Winnie wa Skylight Band akipata Ukodak na wifi yake Mrs. Kisso.

No comments:

Post a Comment