Jana kulifanyika kisomo cha mzee Mshare ( baba wa mwanajumuiya mwenzetu Himidy Mshare) ambaye alifariki dunia wiki chache zilizopita huko Dar es Salaam.Shughuli hiyo ilifanyika kwenye msikiti wa Hayes uliopo barabara ya Westheimer jijini Houston na kuongozwa na Ustaadhi Jadi Malumbo.
Mfiwa Nd.Himidy kulia akibadilishana mawazo na Rahim Chomba |
Mjukuu wa marehemu Mzee Mshare , Ibra Himidy (wa pili kutoka kushoto) akiwa na watoto wenzake |
Muda wa kisomo |
Kutoka kushoto, Andrew, Ally, Himidy na Totoo |
Ustaadh Jadi na Ndikumana |
Photos courtesy of Abou Barnes
No comments:
Post a Comment