Sunday, April 27, 2014

Sherehe za Muungano zafana Houston

Siku ya Muungano iliadhimishwa vyema jioni ya leo katika viwanja vya George Bush Park, Houston. Shughuli ya Muungano ilianza mida ya saa nne ya asubuhi kwa michezo ya watoto  , muziki na vyakula mbalimbali.Mwenyekiti wa Jumuiya ta THC aliishukuru jumuiya ya wafanyabiashara (Ephrahim-Our Realtor, Mican Staffing, Faraji Insurance, Safina Tanzania) wa kitanzania ambao walidhamini sherehe hizo wakishirikiana na Safari Entertainment. Pata taswira mbalimbali:

Mwenyekiti wa Jumuiya Bi.Nuru Mazoro akiwa na Katibu Mwenezi Bw.Said Nusura

Dada Annasa

Wanajumuiya Anita na Asma
Wanajumuiya
Salum Rajab na Mzee wa Hazina





































No comments:

Post a Comment