Saturday, December 6, 2014

Diamond Platnumz Kuwasili leo DC

 kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Moses Iyobo na Rama Tonsa wakisubili usafiri na huku wakijaribu kupata mawasiliano mara tu baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia tayari kwa kuwasha moto leo kwenye sherehe ya Uhuru itakayofanyika Sheraton ya Downtown Silver Spring.
 Moses Iyobo, Dj Romy Jones wakiwa uwanja wa ndege wa kimataifa mara tu baada ya kuwasili siku ya Ijumaa Desemba 5, 2014 kwa ajili ya sherehe ya Uhuru itakayofanyika leo Jumamosi Sheraton ya Downtown Silver Spring, Maryland.
 Moses Iyobo na Rama Tonsa wakiwasili hotelini mara tu baada ya kutoka uwanja wa ndege.
 Dj Romy Jones (Dj wa Diamond) akiendelea na mawasiliano akiwa hotelini.
 kushoto ni Inno na watatu toka kushoto ni Phanuel ambao ni waratibu na waliomleta Diamond wakishirikiana na DMK (hayupo pichani wakiwa katika picha ya pamoja na Dj Romy Jones, Moses Iyobo
 Saada Wadau kutoka Michigan wakiwasili tayari kwa show ya Diamond. Picha na Vijimambo.

No comments:

Post a Comment