Tuesday, February 17, 2015

Mazungumzo na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi Pt III

Karibu sana na asante kwa kujiunga nasi katika kipindi hiki cha HUYU NA YULE

Tumepata fursa ya kuongea na Mhe. Balozi Mustafa Nyang'anyi

Tumefanya mazungumzo naye ya sehemu nne, kueleza safari yake kimaisha

Tunaendelea na sehemu ya tatu ya mazungumzo yetu, ambapo Mhe Balozi Nyang'anyi anaanza kuelezea namna

1: Alivyoingia kwenye siasa (ubunge mwaka 1970)

2: Alivyopata taarifa za kwanza za uteuzi wake serikalini. Hapa napo pana mvuto wake kusikiliza.

3: Nafasi alizoshika kama naibu waziri na waziri kamili

4: Nafasi ya ukuu wa mkoa

5: Na hata harakati zake na pia alivyopata nafasi ya kuja kusoma Chuo Kikuu Havard

KARIBU

No comments:

Post a Comment