Sunday, March 11, 2012

Simba nayo yavutwa mkia na Toto Africa ya Mwanza

Mchezaji wa timu ya Simba Felix Sunzu akimtoka beki wa timu ya Toto Africa ya Mwanza katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom unaofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni hii, Mpira umekwisha na hakuna timu iliyofanikiwa kupata goli katika dakika tisini matokeo yamekuwa 1-1. Kocha Milovan ameipongeza timu ya Toto Africa kwa kucheza vizuri, wao walitaka kushinda lakini hawakuweza kufanya vizuri.
Wachezaji wa Simba ta Toto Africa ya Mwanza wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo huo kwenye uwanja wa Taifa.
Kikosi cha timu ya Toto Africa ya Mwanza kikiwa katika picha ya pamoja.
Timu zikiingia uwanjani tayari kwa kukipiga katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom

No comments:

Post a Comment