Tuesday, July 31, 2012

MKURUGENZI MWANAHALISI AILALAMIKIA SERIKALI BAADA YA KUFUNGIA GAZETI LAKE




Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali halisi , inayo chapisha
Gazeti la Mwana Halisi Bw, Saed Kubenea, akiongea na Waandishi wa
habari katika Ofisi za Kampuni hiyo juu ya malalamiko yake kwa
serikali kutokana na kufungiwa kwa gazeti lake la Mwana halisi jana
ambapo alilaani vikali uamuzi huo uliochukuliwa na serikali na hivyo
kuitaka serikali kufuta mara moja Tamko lake Kushoto ni Mhariri wa
Gazeti  hilo Bw, Jabir Idrissa.

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Kubenea
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali halisi , inayo chapisha
Gazeti la Mwana Halisi Bw, Saed Kubenea, akionyesha baadhi ya Magazeti
yaliyolalamikiwa na Serikali.

No comments:

Post a Comment