Monday, December 31, 2012

RAIS KIKWETE ATANGAZA MATOKEO YA SENSA YA MWAKA 2012 : TUKO 44,929,002

  Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa vyama vya siasa, wafanyabiashara, viongozi wa taasisi mbalimbali na serikali.

Wasimamizi wakuu wa takwimu ya sense wakiwa mbele ya hadhara, wa kwanza kulia ni Alnima Chuwa wa Takwimu za Taifa Dar. 
...akifurahia jambo na Mwenyekiti wa CUF, Profesa  Ibrahimu Lipumba (kushoto).

  …akifurahia jambo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Mwenyekiti wa IPP, Dk. Reginald Mengi.

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akiserebuka na kikundi cha uhamasishaji cha Temeke kwenye Viwanja
vya Mnazi Mmoja kabla rais hajatangaza idadi ya watu nchini leo

No comments:

Post a Comment