Wednesday, December 12, 2012

Simba SC yasajili kipa la ajabu kutoka Uganda

Kulia, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe akizungumza na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira kushoto. Mwingine Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala wakati kipa huyo alipokuwa akisaini mkataba wa  miaka miwili kuichezea Simba SC usiku huu katika hoteli ya JB Belmonte, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
Kulia, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe na kushoto ni wakala wa kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira kushoto akihesabu dola za Kimarekani alizolipwa kipa huyo kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba SC

Kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira akisaini mkataba mbele ya Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala .

Wakala wa Dhaira akihesabu mpunga

Dhaira anatia dole gumba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kushoto akiwa na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira wakati akisaini mkataba wa  miaka miwili kuichezea Simba SC. 
Tazama mlingoti huo, Dhaira kulia akiwa na Hans Poppe


Source : http://bongostaz.blogspot.com/2012/12/uganda-one-alivyomwaga-wino-simba-sc-leo.html

No comments:

Post a Comment