![]() |
Kulia, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe akizungumza na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira kushoto. Mwingine Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala wakati kipa huyo alipokuwa akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba SC usiku huu katika hoteli ya JB Belmonte, katikati ya Jiji la Dar es Salaam. |
![]() |
Kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira akisaini mkataba mbele ya Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala . |
![]() |
Wakala wa Dhaira akihesabu mpunga |
![]() |
Dhaira anatia dole gumba |
![]() |
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kushoto akiwa na kipa namba moja wa Uganda, Abbel Dhaira wakati akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba SC. |
![]() |
Tazama mlingoti huo, Dhaira kulia akiwa na Hans Poppe Source : http://bongostaz.blogspot.com/2012/12/uganda-one-alivyomwaga-wino-simba-sc-leo.html |
No comments:
Post a Comment