Katika Robo Fainali ya kwanza Kenya imeifunga Malawi 1-0 kwa bao la Mike Barasa dakika
ya 56 na sasa itamenyana na Zanzibar katika Nusu Fainali
keshokutwa.
![]() |
Wachezaji wa Kenya |
Nayo Uganda ikaibanjua Ethiopia kwa mabao 2-0. Mabao ya Geoffrey Kizito na Robert Ssentongo dk.60 katika Robo Fainali ya pili iliyofanyika kwenye Uwanja
wa Mandela, Namboole mjini Kampala yalitosha kuwapeleka Nusu Fainali ambako watakutana na
Tanzania Bara katika Alhamisi usiku
![]() |
Waganda wakishangilia bao la Kizito |
No comments:
Post a Comment