Balozi Mwanaidi Maajar akiongea mbele ya sherehe ya kumuaga iliyo kuwa imeandaliwa na jumuiya ya akina mama Washington, DC. |
Mheshimiwa Balozi Mwanaidi Sanare Maajar akipata ukodak na mume wake |
Wageni kutoka North Carolina wakiwa katika sherehe hiyo |
Ndugu Hajji Khamis kutoka mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania wa New York nae alikuwepo kwenye sherehe hizo. |
Dr Mariam Abu makamu katibu wa jumuiya ya watanzania wa NYC akipata ukodak pamoja na mchumba wake. |
Mh.Balozi akipata ukodak pamoja na Afisa Ubalozi Washington, DC pamoja na familia ya afisa huyo |
Ebra Nyangaly |
No comments:
Post a Comment