Monday, January 28, 2013

Mheshimiwa Balozi Mwanaidi Maajar Aagwa na Kinamama - DMV


Balozi Mwanaidi Maajar akiongea mbele ya sherehe ya kumuaga iliyo kuwa imeandaliwa
 na jumuiya ya akina mama Washington, DC.



Mheshimiwa Balozi Mwanaidi Sanare Maajar akipata ukodak na mume wake

 Wageni kutoka North Carolina wakiwa katika sherehe hiyo





 Ndugu Hajji Khamis kutoka mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania wa New York nae alikuwepo
 kwenye sherehe hizo.


Dr Mariam Abu makamu katibu wa jumuiya ya watanzania wa NYC akipata ukodak pamoja
na mchumba wake.

 Mh.Balozi akipata ukodak pamoja na Afisa Ubalozi Washington, DC pamoja na familia ya afisa huyo
































Ebra Nyangaly

No comments:

Post a Comment