Mr.Mero akiongea machache kwenye sherehe hizo kwa niaba ya Mh. Balozi ambae alitakiwa kuwa mgeni rasmi lakini kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika hakuweza kuhudhuria . Sherehe hizo zilifanyika Alomo Lounge Mt Vernon. NY. |
Mr Mseba katibu wa jumuia ya watanzania New York akiongea katika sherehe hizo |
Watanzania waliojitokeza katika sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika picha na bendera ya Tanzania |
No comments:
Post a Comment