Mhe. Naibu Mwakilishi Balozi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa mataifa
New York, Ramadhani Muombwa Mwinyi (kulia)akiufungua mkutano mkuu wa
kwanza wa Jumuiya ya Watanzania New York, uliofanyika Jumapili Feb 24,
2013 Harlem, New York nchini Marekani na kuhudhuriwa na Wanajumuiya
hiyo. Watu wengine katika picha tokea shoto ni Omar Ally wa Pennsylvania
ambae ni mwenyekiti wa Zanzibar DIASPORA, Shabani Mseba, katibu Jumuiya
ya Watanzania New York na Hajji Khamis, Mwenyekiti Jumuiya ya
Watanzania New York . |
No comments:
Post a Comment