Sunday, February 17, 2013

Simba SC yapigwa 1-0 na FC Lobolo ya Angola

Mshambuliaji wa timu ya FC Libolo ya nchini Angola, Joao Martins, akiruka juu kupiga mpira wa
 kichwa na kuifungia timu yake bao la kuongoza mnamo dakika ya 24 ya mchezo katika 
kipindi cha kwanza,wakati wa mchezo wao wa Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika dhidi ya 
Timu ya Simba kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.hadi mwisho wa mchezo Simba
 ilechezea kichapo cha bao 1-0 toka kwa FC Libolo
Kitu nyavuni

No comments:

Post a Comment