Tuesday, May 28, 2013

Kilichomuua Ngwear hiki hapa


Albert Mangwea aka Ngweair of Cowwizy
Taarifa ambazo Lenzi ya Michezo imezipata kutoka South Africa kwa Hussein Original ambaye yupo Pretoria, amesema Ngwear amefariki leo asubuhi kwenye ghetto ambalo alikuwepo pia msanii M to The P ambaye yeye amelazwa hospitali akiwa mahututi. 

"Tulivyokwenda kuwagongea asubuhi tuliwakuta Ngwear amefariki na M To The P akiwa amepoteza Fahamu Kabisa"

Baada ya kuwapeleka hospitali daktari alithibitisha amekufa na ameshatoa taarifa kwa watu wa karibu wa Ngwear huko Afrika ya Kusini.

Ngwea akiwa na msanii M to the P walitakiwa kurudi Dar leo lakini waliwakuta wamezimia kwenye chumba wote wawili baada ya kuzidisha (overdose) madawa ya kulevya .


Hata hivyo mama yake Ngwear ambaye yupo nyumbani kwao Morogoro amethibitisha kupokea taarifa ya kifo cha mwanae na kusema kuwa taarifa za kuwa za kuwa alikuwa Afrika ya Kusini alikuwa hana kwani mara ya mwisho kuongea naye zimepita wiki mbili sasa.


Pia amesema taratibu za maandalizi ya mazishi yatakavyokuwa yataanza baada ya kufika baba yake mdogo Ngwear ambaye yupo mkoani Ruvuma kwani anatarajiwa kuwasili kesho Morogoro.

Memorial Day Norwalk, Connecticut

Farida Malya akiwashukuru marafiki waliojitokeza kwenye BBQ iliyofanyika
 nyumbani kwake Norwalk CT. Farida na dada yake waliaanda BBQ hiyo
siku ya Memorial Day 

Hapa ni baba yake Farida nae akiongea jambo nyumbani hapo

Mama yake Farida nae alipata fursa ya kuongea na kutoa shukrani kwa watu
waliojitokeza kwenye bbq hiyo iliyo kuwa imeandaliwa na watoto wao

Marafiki wakipata nyama choma nyumbani hapo






Wednesday, May 8, 2013

Dj.Luke - Kijiwe Ughaibuni

Alex Ferguson retires: Manchester United manager's greatest quotes

Sir Alex Ferguson's trophy-laden reign at Manchester United has been illuminated by his often fiery rhetoric. From withering put-downs to sparkling praise, the Scot has eye for an apposite phrase and has created a catalogue of memorable quotes. 
 
Alex Ferguson retires: Manchester United manager's greatest quotes
Quick quip: Sir Alex Ferguson is the king of the one-liners
Here, we look at some of the most notable....
 
On his mission after being appointed to the post:
"My greatest challenge is not what's happening at the moment, my greatest challenge was knocking Liverpool right off their f***ing perch. And you can print that."
On whether Liverpool would win the title in 2007:
"You must be joking. Do I look as if I'm a masochist ready to cut myself? How does relegation sound instead?"
On Manchester City's emergence as a Premier League force:
"There has been a lot of expectation on Manchester City and with the spending they have done, they have to win something. Sometimes you have a noisy neighbour and have to live with it. You can't do anything about them."
On Manchester City's Carlos Tévez poster:
"It's City, isn't it? They are a small club, with a small mentality. All they can talk about is Manchester United, that's all they've done and they can't get away from it."

  On Jose Mourinho:
"He was certainly full of it, calling me 'Boss' and 'Big Man' when we had our post-match drink after the first leg. But it would help if his greetings were accompanied by a decent glass of wine. What he gave me was paint-stripper."

 
On Arsene Wenger:
"They say he's an intelligent man, right? Speaks five languages. I've got a 15-year-old boy from the Ivory Coast who speaks five languages!"

 
On Rafael Benitez:
"I think he is very concerned about his CV, he refers to it quite a lot."

 
On his bust-up with Newcastle boss Alan Pardew:
"The press have had a field day. The only person they have not spoken to is Barack Obama because he is busy."

 
On the infamous incident during which former midfielder David Beckham was struck on the head by a flying boot:
"It was a freakish incident. If I tried it 100 or a million times it couldn't happen again. If I could I would have carried on playing!" 


On the mind games employed by Italian teams:
"When an Italian tells me it's pasta on the plate, I check under the sauce to make sure. They are the inventors of the smokescreen."