Thursday, June 13, 2013

Harambee ya Kusafirisha mwili wa marehemu Jerome Mpefo

Ndugu WANAJUMUIA,

Marehemu Jerome Mpefo


Kutakuwa na Harambee ya kuchangia gharama za kusafirisha mwili wa marehemu nyumbani Tanzania.Harambee itafanyika Jumamosi,tarehe 15,2013 saa kumi jioni katika anuani ifuatayo:

Memorial Lutheran Church , ‎
5800 Westheimer Road , Houston, TX 77057. 

Tunaombwa kina Baba kuleta Vinywaji na Kina Mama kuandaa Vyakula.
Pia imefunguliwa Account maalumu kwa ajili ya msiba huu.
BANK OF AMERICA,
Account number - 5860 3352 2448
Routing number - 11300023
Jina: Stella Liming.

Asanteni,
Wenu katika Jumuia,
Juma Maswanya.

No comments:

Post a Comment