Ndugu WANAJUMUIA,
|  | 
| Marehemu Jerome Mpefo | 
Kutakuwa na Harambee ya kuchangia gharama za kusafirisha mwili wa marehemu nyumbani Tanzania.Harambee itafanyika Jumamosi,tarehe 15,2013 saa kumi jioni katika anuani ifuatayo:
Memorial Lutheran Church , 
5800 Westheimer Road , Houston, TX 77057. 
Tunaombwa kina Baba kuleta Vinywaji na Kina Mama kuandaa Vyakula.
Pia imefunguliwa Account maalumu kwa ajili ya msiba huu.
BANK OF AMERICA,
Account number - 5860 3352 2448
Routing number - 11300023
Jina: Stella Liming.
Asanteni,
Wenu katika Jumuia,
Juma Maswanya.
 
 
No comments:
Post a Comment