| Watotot wa Kitanzania wakimpokea Balozi Mulamula |
| Uongozi wa Jumuiya ukimpokea Balozi nje ya ukumbi |
| Wimbo wa Taifa ukiimbwa na watoto |
| Watoto wakiimba nyimbo za maitaifa ya Tanzania na Marekani |
| Balozi akiwa na Wanajumuiya |
| Balozi Mulamula akifurahia jambo na mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Houston Nuru Mazora |
| Balozi akiwapongeza watoto |
| Meza viongozi wapya pamoja na Mwenyekiti wa Wa-Tanzania wa Jumuiya ya Dallas |
| Wajumbe wa Baraza jipya la uongozi wa Jumuiya |
| Wanajumuiya wakifuatilia matukio |
| Katibu aliyemaliza muda wake Bi.Leyla akitoa machache |
| Katibu mkuu mpya Bw.Alfred Nkunga (wa pili kutoka kushoto) akifuatilia matukio |
| Sehemu ya umati uliofurika ukumbini |
| Wadau |
| Mwenyekiti Bi,Nuru na Katibu Bw.Nkunga |
| Maafisa ubalozi Bw.Mgendi na Bw,Missana |
| Wanajumuiya |
| Dr. Tenende na Mama Tenende wakifuatilia matukio |
| Dj.Jimmy Makwega alikuwepo kunogesha shughuli hiyo |
| Naibu Katibu wa Jumuiya Bw.Kitogo akiwa na MC.James |
| Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi Bw.Steve Maonyesho akiwa na MC.James |
| Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Bw.Simba na Balozi Mulamula wakiwapongeza viongozi wapya |
| Bw.Simba akimkabidhi Katiba ya Jumuiya Mwenyekit mteule Bi,Nuru |
| Balozi Mulamula akitoa nasaha zake |
| Balozi akimsimika rasmi Bi.Nuru kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya |
| Balozi akimsimika rasmi Bi.Nuru kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya |
| Balozi akimsimika rasmi Bi.Nuru kuwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya |
| Mwakilishi wa Jumuiya ya Wa-Nigeria-Houstoni akisalimiana na Balozi |
| Mwenyekiti wa kamati ya Uchaguzi Bw.Maonyesho (kushoto) akipewa zawadi |
| Mzee Mulamula akiwa na Dr.Tenende |
| Kutoka kushoto ni Bw.Kitogo,Bw.Nkunga,Mama Nkunga na Mama Kitogo wakipata U-kodak |
No comments:
Post a Comment