Monday, June 12, 2017

WANA CHADEMA HOUSTON WAANDAA PARTY YA KUSHEHEREKEA MAISHA YA MZEE NDESAMBURO

Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) Tawi la Houston Texas jumamosi wiki iliyopita walikutana kwenye Ukumbi wa Safari kwa hafla fupi ya Kusheherekea Maisha ya muasisi wa CHADEMA Nd. Philemon Ndesamburo maarufu kama Ndesa Pesa aliyefariki dunia siku chache zilizopita huko nyumbani Tanzania. Wageni mbalimbali walialikwa kwenye hafla hiyo iliyoambatana na chakula cha usiku pamoja na vinywaji. Pata picha hapa kama zinavyoletwa kwenu na kamera ya MlongoKihoma blog

Mwenyekiti wa CHADEMA Tawi la Houston Bw. Steven Maonyesho akiwa na picha ya marehemu Ndesamburo

Picha ya muasisi wa CHADEMA  marehemu Mzee Philemon Ndesamburo maarufu kama Ndesa Pesa

Katibu Muenezi wa CHADEMA - Houston Nd. Nickson Mlay 

Katibu Mkuu wa CHADEMA - Houston Bw. Emmanuel K. Emmanuel

Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA - Houston Bw. Fue Onesmo Fue
akisoma historia ya Mzee Ndesamburo

Bw. Suleiman Kalinga maarufu kama Sekulu akifungua hafla kwa sala

Vice President wa THC Bw. Lambert Tibaigana akitoa machache 

Wageni wakiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA - Houston Bw. Maonyesho ( kushoto )

















































No comments:

Post a Comment