Monday, December 13, 2021

MCHAPALO WA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UHURU WASHINGTON DC

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Elsie Kanza akiongea
jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mhe. Peter Lord anayeshughulikia
maswala ya Afrika Mashariki, Sudan na Sudan ya Kusini 


Picha juu na chini ni Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani
Mhe. Elsie Kanza akisoma hotuba yake kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara
siku ya Alhamisi Disemba 9





Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Elsie Kanza akipongezwa
kwa hotuba nzuri na Balozi wa Rwanda Mhe. Mathilde Mukantabana

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mhe. Peter Lord anayeshughulikia naswala ya
Afrika Mashariki, Sudan na Sudan ya Kusini akisoma hotuba yake akipongeza mashirikiano
katika nyanjambalimbali kati ya Marekani na Tanzania na kuipongeza Tanzania kuadhimisha
 miaka 60 ya Uhuru.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Elsie Kanza akimshukuru Naibu Waziri wa Mambo ya
Nje wa Marekani Mhe. Peter Lord anayeshughulikia naswala ya Afrika Mashariki, Sudan na
Sudan ya Kusini kwa hotuba yake

Picha juu na chini Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini
Marekani Mhe. Elsie Kanza akisamiliana na wageni mbalimbali wakiwemo waheshimiwa
Mabalozi na Waambata wa Jeshi wa Balozi zao.



Mshereheshaji Bi Tuma akisherehesha maadhimisho hayo.

Nyimbo za Taifa Marekani na Tanzania zikipigwa kuashiria ufunguzi rasmi wa
Maadhimisho hayo ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.




















































Msanii wa kikundi cha Tanzanite African Acrobatics kutoka Miami
akiwatambulisha wasanii wenzake kwenye kundi hilo walipokua
sehemu ya kusherehesha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania
Bara uliofanyika siku ya Alhamisi Disemba 9, 2021 katika hotel ya Washington Marriott,
Washington, DC. Kundi lina wasanii wanne Matiga Kobs, Emmanuel Mbonde,
Faraji Ngingite na Sadick Shabani

















































































No comments:

Post a Comment