Tuesday, October 1, 2024

DIASPORA WA MAREKANI WAJITOKEZA KWA WINGI KUSHUGHULIKIA PASI ZA KUSAFIRIA NA VITAMBULISHO VYA NIDA

Afisa uhamiaji Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Bi Sophia Gunda akihakiki karatasi za mmoja ya wadau wa Diaspora jijini Austin, Texas 


Afisa uhamiaji Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Bi Sophia Gunda akihakiki karatasi za mmoja ya wadau wa Diaspora aliyafika Austin, Texas kushughulikia swala la pasi ya kusafiria siku ya Jumamosi Septemba 28, 2024.

Afisa usajili mwandamiz Issa Salumi akihakiki maelezo ya diaspora mTanzania nchini Marekani yanasomeka kama yalivyojazwa kwenye fomu za mwombaji wa kitambulisho cha NIDA.

 

Kushoto ni Theresia Matonya afisa uchambuzi mifumo ya kompyuta akihakiki fomu za mmoja ya waombaji wa kitambulisho cha Taifa (NIDA)

Afisa Uhamiaji Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Bi Sophia Gunda akihakiki karatasi za mmoja ya wadau wa Diaspora








No comments:

Post a Comment