Thursday, March 15, 2012

YANGA NA SIMBA ZASHINDA HII LEO



Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea hii leo kwenye viwanja viwili,jijini Dar es Salaam mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga imeifunga African Lyon bao 1:0 kwa bao la Kigi Makassy.

Huko mkoani Dodoma, Simba imefanikiwa kuifunga Polisi ya mjini humo bao 1:0 bao la ushindi la Simba limefungwa na kiungo Patrick Mutesa Mafisango.

No comments:

Post a Comment