Friday, August 3, 2012

MRISHO NGASSA ATAMBULISHWA RASMI SIMBA - AFANYA MAZOEZI KWA MARA YA KWANZA NDANI YA UZI MWEKUNDU

Mchuma mpya aliopewa Ngassa baada ya kusajiliwa na Simba

Mrisho Ngassa akiingia mazoezini

Mashabiki wa Simba wakiwa wanampokea mchezaji wao mpya Mrisho Ngassa

Ngassa ndani uzi mwekundu akiwa na Uhuru Suleiman



Ngassa akipambana na Amri Kiemba





Na jezi yake ile ile namba 16






Hapa Ngassa akiwa amezingirwa na mashabiki wa Simba baada ya kufika makao makuu ya klabu hiyo kutambulishwa


Mrisho Ngassa akiwa na uzi wake mpya baada ya kutambulishwa makao makuu ya Simba


Ujumbe kwa uongozi wa Yanga.

No comments:

Post a Comment