
Magoli 64 kwa Barça, 12 kwa Argentina
Mabao 48 ya Messi kati ya 76 ndani ya 2012 yalifungwa katika La Liga - 33 katika msimu huu na 15 msimu uliopita. 12 akaifungia Argentina.
Pelé, kwa upande mwingine alifunga mabao 58 katika mashindano ya Paulista, 8 katika mashindano ya Rio-Sao Paulo, na mabao 9 aliifungia timu yake ya taifa - kati ya mabao yake hayo 9 ya timu ya taifa, sita kati ya hayo yalifungwa katika fainali za kombe la dunia 1958, na mengine aliyafunga katika mechi za kirafiki.
Málaga and Bayer Leverkusen
Japokuwa Atletico Madrid ndio watu waliojeruhiwa sana Messi, lakini mwaka 2012 timu ambazo zimeonja joto la balaa la Messi ni Malaga na Bayern Leverkusen ambao wote wameambulia kufungwa magoli 6 kila timu.
No comments:
Post a Comment