Saturday, December 29, 2012

SIMBA SC NA TUSKER KATIKA PICHA TAIFA LEO

Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Juma akijaribu kumtoka beki wa Tusker ya Kenya, Frederick Onyango
katika mchezo wa kirafiki jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tusker ilishinda 3-0.



Beki wa Tusker, Joseph Shikokoti akikabiliana na kiungo wa Simba Abdallah Seseme kushoto

 


Haruna Athumani akitafuta mbonu za kumtoka beki wa Tusker, Onyango


Jeremiah Bright wa Tusker akimdhibiti Mussa Mudde wa Simba


Haruna Shamte akiosha


Haruna Athumani akikabiliana na beki wa Tusker, Edwin Ombassa


Kiggi makassy akimdhibiti Jesse Were


Mudde akitafuta njia


Shikokoti ameruka hewani kupiga kichwa peke yake


Shikokoti akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Simba, Haruna Athumani

No comments:

Post a Comment