Thursday, June 13, 2013

Taarifa ya Msiba Houston - Texas

Ndugu Wanajumuia,
Kwa masikitiko makubwa natoa taarifa ya kifo cha ndugu yetu 
mpendwa JEROME DAVID MPEFO,
kilichotokea leo Jumatano (06/12/2013) majira ya saa mbili usiku
katika hospitali ya MD Anderson alipokuwa amelazwa.
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.

Marehemu Jerome D. Mpefo
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na  wanajumuia wafuatao;
1)Emmanuel Katili - 281 794 0806
2)Peter Mpefo - 832 366 3303

Msiba upo katika anuani ifuatayo;
12511 TRACELYNN LANE
HOUSTON TX 77066
Kutakua na kikao cha dharura nyumbani kwa marehemu kesho (Alhamisi) Juni 13 saa mbili usiku , Wanajumuia mnaombwa kuudhuria kwa wingi.Tafadhali mfahamishe na mwingine upatapo taarifa hii.

Wenu katika Jumuia,
Juma Maswanya
281-989 3724.

5 comments:

  1. Kaka tunaomba Picha .halafu utu up date na msiba upo wapi Daresalaam

    ReplyDelete
  2. Sasa wewe hii blog Yako ndio ipo Houston Hatuna haja ya Kwenda blog zingine .Tupe up date mdau Jerome umetutoka umetuacha na majonzi Jerome Jamani .Mungu akupumzishe salama .BLOGGER ahsante mkuu alikuwa poa kinoma

    ReplyDelete
  3. Inakuwaje mungu anachukuwa Watu wenye roho nzuri hivi .Jerome mungu akupumzishe kaka

    ReplyDelete
  4. Kaka Jerome thank you for everything.ulikuwa na roho nzuri

    ReplyDelete
  5. Picha za msibani Basi mdau

    ReplyDelete