Friday, July 18, 2014

Mambo ya Skylight Band

DSC_0106

Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0130

Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.

DSC_0155

Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0046

So how do you expect me to live alone with just me ...'Cause my world revolves around you
It's so hard for me to breathe...No air ...air...Bonge moja la Kolabo ni Sam Mapenzi na Aneth Kushaba AK47 wakitoa burudani.

DSC_0025

Vijana watanashati, nadhifu wanastahili kila sifa kupewa wao....si wengine ni wa Skylight Band ambayo ndio habari ya mujini kwa sasa haina mfano wake...Divas wa bendi hiyo Kutoka Kulia Digna Mbepera, Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47 wakipewa sapoti na mkongwe wa muziki wa dansi nchini Joniko Flower Ijumaa iliyopita.

DSC_0164

Sam Mapenzi akiongoza kutoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita huku akipewa back vocal na Joniko Flower, Hashim Donode na Sony Masamba ndani ya viunga vya Thai Village.

DSC_0170

Taratibu mdogo mdogo amsha amsha hiyo kwa raha zetu......Njoo ujinafasi kwenye viunga vya Thai Village na Skylight Band leo usiku kuanzia saa tatu.DSC_0132

Mary Lucos akiwaburudisha mashabiki wa Skylight Band huku akisindikizwa na Digna Mbepera Ijumaa iliyopita.

DSC_0251

Sugua sugua mpaka kitakate....! Unakaribishwa usiku wa leo usugue kiatu chako na SKYLIGHT BAND ndio habari ya mujini kwa sasa!

DSC_0247

Mashabiki nao hawakubaki nyuma mule mule tu kama inavyoonekana pichani.

DSC_0230

Mguu wa kushoto mbele wa kulia nyuma......!

DSC_0228

DSC_0225

Ya chuma chuma nataka mukanda ya Chuma chuma.....! mashabiki waliofuzu kucheza moja ya style za Skylight Band....Njoo na wewe leo tujumuike pamoja.

DSC_0338

PICHA HII ITAKUWA USHAHIDI TOSHA: Mmoja wa mashabiki wa Skylight Band ambaye jina lake halikuweza kupatikana akionyesha uwezo wake wa kusakata ma-style mbalimbali ya bendi hiyo baada ya Joniko Flower kuvutiwa na uchezaji wake kama inavyoonekana pichana jamaa alivyo COPY na KU-PASTE miondoko hiyo.

DSC_0339

KWANINI TUANDIKIE MATE WAKATI WINO UPOOO...? Hebu jione mwenyewe utafikiri hawa jamaa mapacha mpaka Style ya kuweka vidole jamaa kaiga.

DSC_0342

Joniko Flower alichemka na kuamua kumshangaa tu jamaa anavyosakata mangoma...Wewe Je unakipaji kama hichi...? Basi usikose Ijumaa ya leo uje utuonyeshe ufundi wako, na SKYLIGHT BAND wanazawadi maalum ikiwemo usafiri wa bure wa kukurudisha nyumbani kwako na vingine kibao kwa shabiki atakayesakata miondoko kama hii jukwaani.

DSC_0347

Aneth Kushaba AK47 mwenye alisalimu amri kwa huyu jamaa....!

DSC_0050

Birthday Girl Renatha Mushi akifurahi burudani ya Skylight Band na wadogo zake wapendwa walioamua kumfanyia surprise ya nguvu.

DSC_0194

Baadhi ya members wa WANAMANYOYA wakijumuika na mashabiki wa Skylight Band kuonyesha style mbalimbali za uchezaji wao.

DSC_0191

DSC_0190

DSC_0278

Hiki ni kiungo muhimu sana katika muziki wa LIVE Band....Idrissa Drum alihusika kupika ladha nzuri ya muziki wa Skylight Band.

DSC_0253

Kikuku huyo ana manyoya huyooo......Dunda dunda pasua twende...!

DSC_0322

Mashabiki wa Skylight wakicheza na kupiga mayowe ya furaha kutokana na kukunwa na burudani nzuri ya bendi hiyo.

DSC_0325

Kumbe ni Aneth Kushaba AK47 ndio alikuwa akiwachizisha mashabiki wa Skylight Band kwenye show ya aina yake Ijumaa iliyopita ndani ya viunga vya Thai Village.

DSC_0276

Mambo ya mduara yalikhusika pia Ijumaa iliyopita ndani ya viunga vya Thai Village leo pia kama kawaida tupo hapo kuanzia saa tatu usiku....No where else to go rather than SKYLIGHT BAND...JUST FOLLOW THE LIGHT!

DSC_0271

Kinyau nyau kikiacha Pweza....!Eeeeh mambo ya pwani hayo shurti ulegeze vidole ndio raha yake ati....! Joniko Flower akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.

DSC_0180

WANAMANYOYA wakipata Ukodak na Birthday Girl dada yetu mpendwa kabisa Renatha Mushi aliyetimia miaka kadhaa hivi na kuja kusheherekea na Skylight Band.

DSC_0317

Divas wa Skylight Band Mary Lucos na Digna Mbepera wakipata Ukodak na wadau wa ukweli wenye mahudhurio ya kuridhisha kila Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village.

DSC_0203

Mratibu wa Skylight Band Lubea akishow love na mdogo wake All the way from Zanzibar....!

DSC_0200

Back stage.

DSC_0312

Mmoja wa Masuperstar anayeunda kundi la Wadananda akipata Ukodak na mremboz mkareeee!!

DSC_0302

Baadhi ya mashabiki wa Skylight Band wakipata Ukodak wa nguvu.

DSC_0320

Wamependeza hawajapendeza.


No comments:

Post a Comment