Mhe. Balozi Tovako Manongi akiwatambulisha maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa kwa Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Bwn, Joseph Kusaga (hayupo picha) siku ya Jumamosi April 23, 2016 siku mkurugenzi huyo alipotembelea nyumbani kwa Balozi jijini New York akiongozana na baadhi ya wafanyakazi wake ambao walikuja nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la Radio lililofanyika Las Vegas, nchini Marekani. |
Mkurugenzi wa Clouds Media Group Bwn. Joseph Kusaga akitambulisha timu yake kwa Mhe. Balozi Manongi. |
Mhe. Balozi mwakilishi wa kudumu wa Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa, New York akibadilishana mawazo na mkurugenzi wa Clouds Media Group, Bwn. Joseph Kusaga |
.
Mkurugenzi wa Clouds Medea Group, Bwn. Joseph Kusaga akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Manongi na mkewe. |
Timu nzima ya Clouds Medea Group wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi Tuvako Manongi na mkewe, kutoka kushoto ni Saleh Mohamed, Daudi Lembuya, Dj Venture, Mhe. Balozi Manongi, Mgurugenzi Joseph Kusaga, mama Manongi, Dj Peter Moe na Jackson Joseph. |
Kushoto ni Brightus Titus, Getrude Clement na NY Ebra wakiwa katika picha ya pamoja |
.
No comments:
Post a Comment