Wednesday, April 27, 2016

Renatus Njohole awasili Houston tayari kwa Mtanange wa Simba vs Yanga Jmosi jijini Dallas

Kiungo wa zamani wa kimataifa wa Taifa Stars na Simba SC ambaye kwa sasa anaishi na kucheza mpira nchini Uswisi jana mchana aliwasili mjini Houston, Texas na kupokelewa na kaka yake Nico Njohole ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Tanzania anayeishi Uingereza tayari kabisa kwa mpambano wa Simba na Yanga utakaofanyika mjini Dallas , Texas siku ya jumamosi tarehe 30/04. VIJIMAMBO blog itawaletea taarifa za mtanange huo kwa ukaribu zaidi

Renatus na Nico Njohole wakiwa George Bush International Airport jana mchana

No comments:

Post a Comment