Sunday, May 1, 2016

MAMIA KUTOKA MAJIMBO MBALIMBALI WAMUAGA ANDREW SANGA HOUSTON , TEXAS

Mamia wa Watanzania na wananchi wa mataifa mbalimbali duniani jioni ya jana walikusanyika kumuaga kijana wao mpendwa Andrew Nicky Sanga aliyefariki wiki 2 zilizopita jijini Houston, Texas. Misa ya kumuaga Andrew ilifanyika katika kanisa la Lutheran lililoko kwenye makutano ya barabara za Westheimer na Wilcrest. Mwili wa Andrew unategemewa kuondoka hapa Houston jumatatu tarehe 2/5 kuelekea nyumbani Tanzania kwa safari yake ya mwisho hapa duniani

Ndugu na Marafiki wa Andrew wakiwa na jeneza la marehemu kanisani

Mwili wa Andrew ukiwa umepumzika kwenye jeneza wakati wa misa

Marafiki wakilia kwa uchungu

Familia ya Marehemu Andrew Sanga








































































































***Stay tuned for Andrew's Life Celebration Photos

No comments:

Post a Comment