Monday, December 13, 2021

WAZIRI MULAMULA NA MAADHIMISHO YA MIKA 60 YA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA MAREKANI


Waambata wa Jeshi kutoka Balozi zao wakipiga salute wakati wa nyimbo za Taifa kati ya
Tanzania na Marekani zilipokua zikipigwa.

Mhe. Dkt. Elsie S. Kanza Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani
na Mexico akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Ubalozi  siku ya maadhimisho ya
miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Alhamis Disemba 9, 2021, Washington, DC

No comments:

Post a Comment